Mjumbe wa Bodi ya Sekretarieti ya Msaada wa Kisheria - LAS Bw. Gideon Mandes (mwenye miwani) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013