Mshambulaji hatari wa timu ya taifa ya Chile Eduard Vargas.
Lionel Messi akishangilia bao lake alilowafunga Venezuela hii leo.
Golikipa wa Singida FG amefungiwa michezo 3 na faini ya shilingi milioni 1 kwa kosa la kuwafanyia vurugu Coastal Union
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli.