Mratibu wa huduma za Uzazi na Mtoto mkoa wa Mbeya,Bibi Prisca Butuyuyu
MOST POPULAR

Mwenyekiti wa UWT Taifa Mary Chatanda
Current Affairs

Kikosi cha Wekundu wa Msimbazi kinajivunia historia nzuri kinapocheza uwanja wake wa nyumbani katika mashindano ya vilabu Afrika kombe la shirikisho na klabu bingwa. Katika mashindano haya ya shirikisho Simba SC imefanikiwa kufika hatua ya robo fainali msimu wa 2020-2021 ambapo iliondoshwa mashindanoni na timu ya Kaizer Chiefs kutokea Afrika ya kusini.
Sport

Kikosi cha Wanajangwani kimesalia na alama zake 24 bado kikiwa kinaongoza msimamao wa ligi kuu Tanzania bara, Singida Black Stars inashika nafasi ya ya pili ikiwa na alama 23 na Simba SC yenye alama 22 ipo nafasi ya 3 baada ya timu za Kariakoo kucheza michezo 9 kila moja Singida Black Stars imecheza michezo kumi ya ligi mpaka sasa.
Sport