Jeshi Stars waliingia kwenye 'grand finale' ya leo wakiwa sio tu hawajapoteza mchezo, bali hawajapoteza hata seti moja.
Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Burundi ,Intamba mu Rugamba' wakiimba wimbo wa taifa lao kabla ya moja ya mchezo
Picha ya Mzee Onyango
Watumishi wakiwa nje ya Jengo la Mwaisela lililopo ndani ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.