Rais Dkt. John Pombe Magufuli akipeana mikono kwa furaha na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete
Mpanzua na viongozi wa Simba
Mwenyekiti wa Bodi ya Simba Crescentius Magori na Inno Loemba
Dully Sykes kwa niaba ya Afrikasongs.com akiwa jukwaani tayari kukabidhi tuzo ya wimbo bora wa mwaka