Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Saidi Meck Sadiki (kuia) akifanya usafi wa jiji katika Barabara ya Kawe kwenye viwanja vya Tanganyika Packers
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, Phaustine Martin Kasike.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimwapisha kamishna Diwan Athumani kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, Ikulu jijini Dar es salaam Novemba 22,2016