Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Donan Mmbando.
Mkurugenzi wa shirika la Under the Same Sun tawi la Tanzania, Bi. Vicky Ntetema, akiwa amekumbatiana na mmoja wa walemavu wa ngozi kuonyesha upendo alioano kwa jamii ya watu hao.
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndullu.
Kamishna wa Oparesheni na Mafunzo wa jeshi la Polisi CP Paul Chagonja