Kikosi cha Yanga kikiwa katika mazoezi viwanja vya mjini Antalya, Uturuki ambako wameweka kambi kujiandaa na mchezo dhidi ya MO Bejaia nchini Algeria.
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, Phaustine Martin Kasike.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimwapisha kamishna Diwan Athumani kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, Ikulu jijini Dar es salaam Novemba 22,2016