Wachezaji wa Yanga, Donald Ngoma na Simon Msuva nyuma wakijaribu kumpokonya mpira Abdul Rwatubyaye wa APR katika mchezo wa awali nchini Rwanda
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013