Wachezaji wa timu ya Chile wakishangilia wakiwa na kombe lao la ubingwa wa michuano maalumu ya Copa America.
Katibu Mkuu wa Yanga Beno Njovu (kulia) akiongea na waandishi wa habari makao makuu ya klabu ya Yanga
Frank Domayo akisaini mkataba na klabu ya Azam