Waziri wa Kilimo, mifugo na Uvivu, Mhe. Mwigulu Nchemba, Waziri wa TAMISEMI Mhe. George Simbachawene, na Naibu waziri wa afya jinsia , watoto na wazee Dkt. Hamis Kigwangala wakiteta jambo baada ya kutembelea mnada wa Pugu na machinjio ya vingunguti

2 Jan . 2016