Kikosi cha timu ya soka ya Azam fc kikiwa katika uwanja wake wa nyumbani wa Azam Complex Chamazi.
Golikipa wa Singida FG amefungiwa michezo 3 na faini ya shilingi milioni 1 kwa kosa la kuwafanyia vurugu Coastal Union
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli.