Rias wa TFF Jamal Malinzi akisisitiza jambo mbele ya waandishi wa habari hawako pichani katika moja ya mikutano yake.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013