Baadhi ya viongozi wa Chama cha Demokrasia Mkoani Njombe wakiwa kwenye msafar wa kumsindikiza mtia nia wa kugombea ubunge Njombe Kusini.
Watumishi wakiwa nje ya Jengo la Mwaisela lililopo ndani ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Burundi ,Intamba mu Rugamba' wakiimba wimbo wa taifa lao kabla ya moja ya mchezo
Mtangazaji na Dj mkongwe wa kituo maarufu cha EA Radio Emsley Smith aka Baba T