Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pesheni PPF kanda ya Ziwa Meshaki Bandawe.
Abiria wakiwa wamesongamana kituo kikuu cha mabasi cha Dar es Salaam baada ya nauli kupanda ghafla kipindi cha nyuma.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013
Jinsi moto ulivyokuwa unaunguza soko la mitumba la Karume jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.