Baadhi ya viongozi wa Chama cha Demokrasia Mkoani Njombe wakiwa kwenye msafar wa kumsindikiza mtia nia wa kugombea ubunge Njombe Kusini.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013