Abiria wakiwa wamesongamana kituo kikuu cha mabasi cha Dar es Salaam baada ya nauli kupanda ghafla kipindi cha nyuma.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013