Vikosi vya usalama vikikabiliana na waandamanaji wanaopinga rais Pierre Nkurunziza kuwani urais kwa awamu ya tatu huko nchini Burundi.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013