Mkurugenzi wa shirika la Under the Same Sun tawi la Tanzania, Bi. Vicky Ntetema, akiwa amekumbatiana na mmoja wa walemavu wa ngozi kuonyesha upendo alioano kwa jamii ya watu hao.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimwapisha kamishna Diwan Athumani kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, Ikulu jijini Dar es salaam Novemba 22,2016