Msemaji wa manispaa ya Kinondoni, Sebastian Mhowera (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo hivi karibuni.
2 Jun . 2014
Afisa Mfawidhi wa sumatra kanda ya mashariki, Conrad Shio, akisisitiza jambo mbele ya waandishi wa habari. Kulia kwake ni mkuu wa kikosi cha usalama barabarani, Kamanda Mohammed Mpinga.
1 Mei . 2014