Mwenyekiti wa wabunge wa Tanzania katika bunge la Afrika Mashariki alhaji Adam Kimbisa (kulia) amesisitiza mpango wa Tanzania kutounga mkono azimio la kumuondoa spika Zziwa.
Sadio Mane alijiunga na Liverpool mwaka 2016 akitokea Southampton
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli.