
Vincent Angban golikipa aliyeachwa

kiungo wa mshambuliaji wa pembeni wa Mtibwa Shizza Ramadhani Kichuya.

Kipa Ivo Mapunda wakati huo akiichezea Simba SC ya Dar es Salaam Tanzania.
Mshambuliaji Mtanzania Mbwana Samatta[jezi ya Bluu] akiwajibika katika klabu yake ya Genk ya Ubelgiji.

Laudit Mavugo wa Vital’O ya Burundi.
Kikosi cha timu ya soka ya Yanga.

Aliyekuwa kiungo mkabaji wa timu ya Yanga Salum Telela.
Kikosi cha timu ya soka yaTaifa ya Tanzania [Taifa Stars].
Wachezaji wa timu za Mgambo JKT na African Sports wakichuana wakati timu hizo zilipokutana.

Kikosi cha mabingwa wa ligi kuu Tanzania bara timu ya Yanga.

Rais wa Shirikisho la Soka nchini Tanzania TFF Jamal Malinzi.

Evance Aveva rais wa Klabu ya Simba
Kikosi cha Wagosi wa Kaya Coastal Union ya Tanga ambacho kimeshashuka daraja kwenda daraja la kwanza FDL.
Nahodha wa Simba Musa Hassan 'Mgosi' [kushoto] akijaribu kumtoka beki wa Mtibwa Sugar.

Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe.