
James Mbatia ni mmoja wa Viongozi wa Umoja wa UKAWA, na Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi ambaye jana ametoa maoni juu ya mgogoro wa Zanzibar
Mgombea ubunge jimbo la Mtwara mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Joel Nanauka,

Katibu Mkuu wa NCCR-MAGEUZI, Mosena Nyambabe akizungumza na waandishi wa habari

Mgombea mwenza wa Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Juma Haji Duni.
Waziri mkuu msataafu wa awamu ya tatu Mh. Fredrick Sumaye

Edward Lowassa akiwa na viongozi wa UKAWA wakati kutangaza kuhamia chama hiko jana katika Hoteli ya Bahari Beach.

Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa (katikati) akiwa ameshikana mikono na mgombea mwenza, Juma Duni Haji (kushoto)

Mkurugenzi wa Uchaguzi kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI Khalist Luanda.

Wananchi wakiwa kwenye foleni ya kuelekea kupiga kura katika chaguzi wa Serikali za Mitaa.