Mkurugenzi mkuu wa kampuni ya Vodacom Tanzania Rene Meza
Rais Jakaya Kikwete akiwa na baadhi ya viongozi pamoja wachezaji wa Tanzania watakaoshiriki michuano ya madola.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.