Katibu wa Itikadi na uenezi wa CCM, Nape Nnauye.
Mwenyekiti wa CCM Dkt Jakaya Kikwete na Katibu Mkuu Abdulrahman Kinana katika moja ya vikao vya Kamati Kuu ya CCM
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.