Moja ya treni inayomilikiwa na Shirika la Reli kati ya Tanzania na Zambia (TAZARA). Kwa muda sasa usafiri wa mizigo na abiria kati ya Dar es Salaam na Lusaka umekwama kutokana na mgomo wa wafanyakazi wa shirika hilo.
Mkuu wa mkoa wa Simiyu Kenan Kihongosi, akizungumza na wananchi
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, Raymond Mndolwa
Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya SACP Benjamin Kuzaga