Moja ya treni inayomilikiwa na Shirika la Reli kati ya Tanzania na Zambia (TAZARA). Kwa muda sasa usafiri wa mizigo na abiria kati ya Dar es Salaam na Lusaka umekwama kutokana na mgomo wa wafanyakazi wa shirika hilo.
Timu ya Taifa ya Iran
Mkurugenzi HAWA Foundation, Joyce kiria
Vikosi vya Simba na Yanga
Amani Golugwa (katikati) Naibu Katibu Mkuu CHADEMA Bara