Moja ya treni inayomilikiwa na Shirika la Reli kati ya Tanzania na Zambia (TAZARA). Kwa muda sasa usafiri wa mizigo na abiria kati ya Dar es Salaam na Lusaka umekwama kutokana na mgomo wa wafanyakazi wa shirika hilo.
Sadio Mane alijiunga na Liverpool mwaka 2016 akitokea Southampton
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli.