Moja ya treni inayomilikiwa na Shirika la Reli kati ya Tanzania na Zambia (TAZARA). Kwa muda sasa usafiri wa mizigo na abiria kati ya Dar es Salaam na Lusaka umekwama kutokana na mgomo wa wafanyakazi wa shirika hilo.
Riderman akiwa katika pozi
Afande Sele
Naibu Afisa Mtendaji Mkuu wa Deloitte Kanda ya Afrika Mashariki Bw. Joe Eshun.
Mkuu wa MICT tawi la Arusha Bw. Samuel Akorimo, akisalimiana Balozi Irene Kasyanju.