(Kutoka kushoto) Regina Gwae, Msemaji wa Kamati ya Maandalizi Nice & Lovely Miss Tanga 2014, Brian Kelly kutoka Nice & Lovely pamoja na Happy Shame - Afisa Masoko EATV/EA Radio katika Mkutano na Waandishi wa Habari Leo.
Wauguzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wakimpokea Dada Neema Mwita Wambura (32) na kuanza mara moja kumfanyia tena uchunguzi wa afya yake katika majeraha aliyoyapata mara baada ya kumwagiwa uji wa moto uliokuwa ukichemka jikoni kitendo kilichofanywa na mume wake.