Waandamanaji wakuwa wamemkamata polisi wa kike na kumburuza nchini Burundi katika Mji Mkuu wa nchi hiyo.
Marais wa nchi Tano zinazounda Jumuiya ya Afrika Mashariki ambapo kwa sasa Mwenyekiti wao ni Dkt. Jakaya Kikwete wa Pili kushoto.
Wafanyabiashara wa Batiki
Mwenyekiti wa Chemba ya Wafanyabiashara Mkoani Mbeya Bw. Lwitiko Mwakaluka
Rais Mteule Dk. John Pombe Magufuli akiwashukuru wananchi wote waliompigia kura kwenye uchaguzi wa Rais uliofanyika tarehe 25,oktoba
Mgombea Urais kuptia Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, chini ya Mwamvuli wa UKAWA Mh. Edward Lowassa akizungumza na Mwenyekiti wa chama hicho Mh. Freeman Mbowe
Mmoja ya watangaza nia ya kugombea Ubunge kuptia chama cha CHADEMA mkoa Mtwara Bw, Joel Nnanauka.