Pichani ni athari na madhara yaliyosababishwa na mvua ambayo imenyesha usiku wa kuamkia juzi, wilayani Karatu na Monduli mkoani Arusha,
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013