
Kipa Ivo Mapunda wakati huo akiichezea Simba SC ya Dar es Salaam Tanzania.

Kiungo wa Azam FC na Taifa Stars Faridi Musa akiwa nchini Hispania.

Kikosi cha mabingwa watetezi wa ligi kuu ya soka Tanzania bara VPL msimu wa 2015/2016 Yanga SC.
Makocha wa Serengeti Boys ya Tanzania na The Pharaohs ya Misri wakizungumza katika mkutano na waandishi wa habari hii leo.

Kikosi kamili cha timu ya soka ya Yanga ya jijini Dar es Salaam.

Kikosi cha timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 17 Serengeti Boys.
Wachezaji wa Tanzanite ya Tanzania na Young ShePolopolo ya Zambia wakichuana.
Omar Wayne-Nahodha wa Serengeti Boys.

Kikosi cha timu ya taifa ya vijana ya Tanzania wenye umri chini ya miaka 17 Serengeti Boys.
Baadhi ya wachezaji wa Azam FC