Baadhi ya wajumbe wa Kamati Mpya itakayoratibu Mashindano ya Miss Tanzania katika mkutano na Waandishi wa Habari leo
mratibu wa shindano la Miss Tanzania Hashim Lundenga
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.