Picha hii inaeleza moja ya matukio ya unyanyasaji wa kijinsia yanayoendelea sehemu mbali mbali nchini Tanzania.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013