Muwezeshaji wa mazungumzo ya maridhiano ya Burundi, Rais mstaafu wa Tanzania, Benjamin Mkapa.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.