Baadhi ya waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa Marehemu Nasra Mvungi katika uwanja wa jamhuri Morogoro, muda mfupi kabla ya maziko.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013