Mkurugenzi wa Mafunzo wa Chuo cha taifa cha Ulinzi ambaye pia ni Mhadhiri wa masomo ya mpango mkakati na historia katika Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Prof.Eginald Mihanjo
Makamu wa Rais Dk Philip Mpango (wa pili kulia) akikabidhi tuzo maalum kwa Meneja Mkuu wa Kampuni ya kuzalisha na kusambaza nishati ya gesi ya nyumbani ya Taifa Gas Limited, Devis Deogratius (kushoto).