Wachezaji wa Simba wakiwapungia mashabiki wa timu hiyo baada ya mchezo wao dhidi ya Toto hii leo.
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya kikwete

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilali .

Wawakilishi wa vijana kutoka Afrika mashariki pamoja na balozi wa vijana katika jumuiya ya Madola kwa pamoja wamekutaka katika Kituo cha Maendeleo ya Kimataifa cha MS TCDC-USA RIVER Arusha.

Wachezaji wa mchezo wa Rollball wakichuana katika moja ya mashindano ya mchezo huo.
Kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania taifa stars kinachotaraji kuingia kambini june 11 mwaka huu.

Baadhi ya wachezaji wa cricket Tanzania wakishangilia katika moja ya michezo yao.