Mshambuliaji Mtanzania Mbwana Samatta[jezi ya Bluu] akiwajibika katika klabu yake ya Genk ya Ubelgiji.
Moja ya hekaheka katika lango la Ubelgiji wakati wakishambuliawa na Wales.

Zlatan Ibrahimovic akiruka hewani kujaribu kufunga dhidi ya Ubelgiji.
Nahodha wa Stars Mbwana Samatta [kushoto] akiwa na kocha wake Boniface Mkwasa.
Mshambuliji Mbwana Samatta akiwajibika katika mchezo dhidi ya Sporting Charleroi.
Kikosi cha timu ya soka yaTaifa ya Tanzania [Taifa Stars].
Mshambuliaji wa Kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta akiwajibika uko nchini Ubelgiji.
Mbwana Samatta wa Genk akimtoka beki wa Zulte Waregem.

Winga wa kimataifa wa Tanzania, Farid Mussa akiwa mazoezini katika viwanja vya klabu ya Deportivo Tenerife.

Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Mbwana Samatta akitambulishwa na viongozi wa Genk hapo jana.