Wanafunzi wa shule ya sekondari ya Ilolo wilayani Mbozi wakiwa katika paredi wakati wa kupandisha bendera ya taifa
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013