Waziri wa maliasili na Utalia Lazaro Nyarandu akiwa katika kikao na Viongozi wa Mkoa wa Iringa wa kwanza kushoto ni Waziri wa Ardhi Nymba na maendeleo ya Makazi mh Wiliam Lukuvi.
Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa ITV/Radio One, Joyce Mhaville akipokea tuzo, Meneja wa Vipindi wa East Africa Radio, Lydia Igarabuza akiwa ameshikilia tuzo yake (katikati) na kushoto ni Beatrice Bandawe Mhariri Mkuu wa gazeti la Nipashe.