Mh. Freeman Mbowe (kushoto) akimpongeza Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa mara baada ya kujiunga na CHADEMA.
Picha ya Mzee Onyango
Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Burundi ,Intamba mu Rugamba' wakiimba wimbo wa taifa lao kabla ya moja ya mchezo