Picha ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni moja ya kumbukumbu muhimu zinazopaswa kutunzwa.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.