Makamu wa Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Mohamed Gharib Bilal
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania awamu ya tano Mh. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na rais mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Kikwete katika msiba wa dada yake Jakaya Kikwete
Wauguzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wakimpokea Dada Neema Mwita Wambura (32) na kuanza mara moja kumfanyia tena uchunguzi wa afya yake katika majeraha aliyoyapata mara baada ya kumwagiwa uji wa moto uliokuwa ukichemka jikoni kitendo kilichofanywa na mume wake.