Katibu wa NEC-Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na Wanahabari akifafanua kuhusiana na ripoti na maazimio ya kikao cha kamati kuu cha CCM.
Jinsi moto ulivyokuwa unaunguza soko la mitumba la Karume jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013
Mwenyeekiti wa DARCOBOA Sabri Mabrouk