Kiongozi mkuu wa chama cha ACT-Wazalendo akiwa ametembelea soko la Masasi lilitoeketea kwa moto.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.