Haya ni makundi makubwa ya Tembo katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha Iringa ni hifadhi yenye mvuto mkubwa kwa wageni na watalii wa ndani pia kutembelea hifadhi
Wauguzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wakimpokea Dada Neema Mwita Wambura (32) na kuanza mara moja kumfanyia tena uchunguzi wa afya yake katika majeraha aliyoyapata mara baada ya kumwagiwa uji wa moto uliokuwa ukichemka jikoni kitendo kilichofanywa na mume wake.