Mgombea Ubunge Jimbo la Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa akisindikizwa Mahakamani, (Picha hii ni tukio lililotokea siku za nyuma halihusiani jinsi alivyokamatwa siku ya Jana)
Wauguzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wakimpokea Dada Neema Mwita Wambura (32) na kuanza mara moja kumfanyia tena uchunguzi wa afya yake katika majeraha aliyoyapata mara baada ya kumwagiwa uji wa moto uliokuwa ukichemka jikoni kitendo kilichofanywa na mume wake.