Mwenyekiti wa wabunge wa Tanzania katika bunge la Afrika Mashariki alhaji Adam Kimbisa (kulia) amesisitiza mpango wa Tanzania kutounga mkono azimio la kumuondoa spika Zziwa.
Mkuu wa mkoa wa Simiyu Kenan Kihongosi, akizungumza na wananchi
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, Raymond Mndolwa
Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Petro Magoti