Mwenyekiti wa wabunge wa Tanzania katika bunge la Afrika Mashariki alhaji Adam Kimbisa (kulia) amesisitiza mpango wa Tanzania kutounga mkono azimio la kumuondoa spika Zziwa.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi, Nape Nauye
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Luten Kanali Mstaafu Issa Machibya.