
Wasanii wa muziki nchini Mandojo pamoja na Domokaya

Kundi maarufu la miondoko ya Pop, Spice Girls

Msanii wa muziki nchini Uganda Moze Radio na mama mtoto wake Lilian Mbabazi wakiwa na mtoto wao

msanii wa muziki Joseph Haule aka Profesa Jay akiwa na msanii Joseph Mbilinyi aka Mr. II Sugu

wasanii wa muziki wa nchini Uganda Mose Radio , weasel TV na Chameleone

Wasanii wa kike wanaorap kutoka Kenya, Shani, Lesynem Junior na Corinne Kahi

mastaa wa muziki ambao ni wachumba Nuh Mziwanda na Shilole

Baadhi ya wasanii wa muziki na filamu wakiungana katika uzinduzi wa kampeni ya CCM Kitaifa.

Nyota wa muziki wa miondoko ya genge nchini Kenya, Mejja, Kid Kora na Madtraxx

kundi nyota la muziki wa miondoko ya reggae kutoka Jamaica Morgan Heritage

wasanii wa muziki wa kundi la Sauti Sol kutoka nchini Kenya wakiwa wamewasili leo asubuhi uwanja wa ndege wa JK Nyerere

Wasanii wa muziki ambao ni wapenzi Nuh Mziwanda na Shilole