Makao makuu ya benki ya Dunia.
Katibu mkuu Wizara ya Fedha na Uchumi Dkt Servacius Likwelile (kulia) akisaini moja ya makubaliano na balozi wa Jumuiya ya Ulaya nchini Tanzania Filberto Sebregondi.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Wanariadha wakichuana katika michuano ya taifa ya riadha iliyoanza hii leo jijini Dar es salaam
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Zainab Telack.
Wachezaji wa Azam FC wakishangilia goli