
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa

Balozi wa Uswis nchini Tanzania Mhe. Florence Tinguely Mattl akisaini kitabu.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini wa Wizara ya Kazi na Ajira Bw. Ridhiwani Wema

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC), Mhe. Mizengo Pinda

Mwanaharakati wa kupinga ubaguzi toka Rwanda Tom Ndahiro

wasanii wa kundi la 'Urban Boyz' wa nchini Rwanda
Mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi ya Maonyesho, Peter Pereira

muigizaji na muongozaji Liane Muhoza Mutaganzwa wa Rwanda

Rais Paul Kagame wa Rwanda, akiwa na mwenyeji wake Rais Jakaya Mrisho Kikwete wa Tanzania, wakati kiongozi huyo alipowasili kwa ajili ya mkutano wa wakuu wa nchi zinazounda ukanda wa maendeleo wa kati jijini Dar es Salaam leo.

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta akimkabidhi rasmi Rais Kikwete uenyekiti wa EAC

Marais watano wa nchi wanachama wa Jumuia ya Afrika Mashariki, Yoweri Museveni wa Uganda, Paul Kagame wa Rwanda, Pierre Nkurunzinza wa Burundi, Jakaya Kikwete wa Tanzania na mwenyeji wa mkutano Uhuru Kenyatta wa Kenya.